Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

48 SIWEZI mimi kufahamu sana neema yake Mungu kwangu

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

 48

1. Siwezi mimi kufaamu sana neema yake Mungu kwangu, zamani nilikuwa mkosaji, lakini alinisamehe.

Pambio:
Bali namjua Mungu, anayeweza kunilindia urithi wangu juu hata siku yake Yesu.

2. Siwezi mimi kufaamu sana upendo wake ‘kubwa mno; nimeamini neno lake kubwa kweli, na ninaona raha tele.

3. Siwezi kufaamu kazi kubwa ya Roho yake ndani yetu, anayeweza kufundisha mtu kutegemea Yesu.

4. Sijui mimi siku zangu tena za kutembea duniani. Na labda nitaona shida huku, taabu na huzuni nyingi.

5. Sijui mimi kama siku moja nitakuona kufa huku, au kwa hima nitabadilika, ajapo Bwana na mawingu.

James Mc Granaham
I know not why, R.S. 617

No comments yet.

Leave a Comment