Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

287. TUNAMTIA mikononi mwako

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

287

1. Tunamtia mikononi mwako mtoto huyu, umtunze sana, na kila siku kwa neema yako umbariki, Bwana Yesu Kristo!

 

2. Ulimwengu kuna majaribu mahali pote, shida na mitego. Lakini uwe mchungaji wake, na umwongoze, E’ rafiki mwema!

 

3. Mwokozi kwa upendo ‘mchukue, asije akashindwa safarini! Na umlinde kwa rehema yako, apate kuwa wako siku zote!

 

4. Utume nuru ya neema kwake na maji ya uzima toka kwako e Bwana Yesu. Twakuomba leo ulinde mwana wetu kwa salama.

T.B. Barrat

No comments yet.

Leave a Comment