Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

121 YESU nifuraha yangu

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

121

1. Yesu ni furaha yangu, amejaa pendo kweli. Anaweza kusimika kila mwenye udhaifu. Ananipa ujasiri, nguvu, raha na faraja. Hata nikionja kufa, Yesu ni mchunga wangu.

 

2. Nimefungwa na Mwokozi kwa kifungu cha upendo, hata kufa hakuwezi kunitenga naye Yesu. Mimi wake siku zote, ninataka kumtii. Kwa neema nimepona, nisitumikie dhambi.

 

3. Kwa mikono ya upendo ninakumbatiwa naye, sitaweza kutafsiri pendo lake kubwa kwangu. Napokea nguvu yake, yanijaza moyo wangu. Yesu ananiongoza katika safari yangu.

 

Torvald Löwe

 

 

No comments yet.

Leave a Comment