Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

54 USIOGOPE mateso yako

54 1. Usiogope mateso yako, Mungu anakulinda, bali tazama mapenzi yake, Pambio: Mungu anakulinda Mungu anakulinda siku kwa siku njiani mwake. Anakulinda salama....

140 UKICHUKULIWA na mashaka yako

1. Ukichukuliwa na mashaka yako na kuona hufu kwamba utakwama, uhesabu mibaraka yake Mungu, na utashangaa kwa rehema yake. Pambio:Uhesabu mibaraka yote Mungu aliyoyakubariki!...

186 FANYIA Mungu kazi

186 1. Fanyia Mungu kazi, mbio usiku waja! Mtumikie Mungu siku zako zote! Anza mapema sana, dumu mchana kutwa! Mbio usiku waja, kazi itakwisha.   2. Fanyia...