1
4 USIKU kabla yakuteswa
1. Kabla ya kuteswa, Yesu Alikusanya wanafunzi wake; Alifahamu kwamba saa yake ya kutolewa ilikaribia.
2. Kwa roho aliona gethesemane, Meteso yake na huzuni...
54 USIOGOPE mateso yako
54
1. Usiogope mateso yako, Mungu anakulinda, bali tazama mapenzi yake,
Pambio:
Mungu anakulinda Mungu anakulinda siku kwa siku njiani mwake. Anakulinda salama....
75 NILIE msafiri
75
1.Niliye msafiri, mgeni duniani; sioni kwangu hapa, ni huko ju’ mbinguni. Ninatamani nami kukaa siku zote pamoja naye Baba katika utukufu.
Pambio:
Kwangu...
275 E’MUNGU mwenye haki
275
1. E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku katika mambo yote yanayokupendeza! Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka yananitia tetemeko mpaka kufa....
291. MIMI mwenye hatiya nilikombolewa
291
1. Mimi mwenye hatia nilikombolewa, Mwokozi alipojitoa. Dhambi zangu na zako alizichukua, kwa damu aliniokoa.
Pambio:
Dhambi zimetundikwa msalabani alipojitoa,...