Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

15 MUNGU moto wako uniutumie

1. MUNGU, moto wako uniutumie, Ninangoja nguvu yako! Nipe na uzima na upendo wako, Unijaze, E’Mwokozi wangu!.   2. Teketeza usiyopenda, Nisafishe kati’...

19 MUNGU tunangoja wote Roho yako ‘Takatifu

19 1. MUNGU tunangoja wote Roho yako ‘takatifu, Tunaomba kwa imani “Umtume hapa kwetu!  Refrain : Mungu wetu, Mungu wetu, Umimine Roho yako, mioyoni mwetu,...

35 NIMEFIKA kwake Yesu

35 1. Nimefika kwake Yesu, Na rohoni mwangu sasa, jua lake la neema linang’aa kila siku. Pambio: Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli. Nimekaribia Yesu,...

282 UKIONA kiu sana ujalivu

 282 1. Ukiona kiu sana ujalivu wa Mwokozi, roho yake safi pia, liamini neno la babako na atakujazi, nawe utashangilia. Pambio: Atakujaliza hata utashiba. Bwana...

294. UTUME Roho yako juu yetu

294 1. Utume Roho yako juu yetu kama ulivyofanya hapo kale! :/: Uwashe moto wako ndani yetu, tusiwe watu wa uvuguvugu! :/:   2.Utume Roho yako juu yetu kama...