Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

116 TUIMBIE tumsifu Yesu ju’

116 1. Tuimbie, tumsifu Yesu ju’ya msalaba! Aliteswa na akafa, yote kwa ajili yetu. Akashinda, ‘kafufuka, ni Mwokozi ‘kamilifu. Pambio: Yesu alitukomboa,...

152 YESU alipolala kati’ kaburi

152 1. Yesu alipolala kati’ kaburi, giza ilifunika Yesu Mwokozi. Pambio: Alifufuka hakika, akavunja nguvu ya mauti, mshindaji ju’ ya mamlaka yote; ni...

153 YESU CHRISTO alifufuka

153 1. Yesu Kristo alifufuka, akatoka kaburini. Furahini na msifuni, kwani alishinda kufa! Pambio: Habari njema: Alifufuka katika wafu! Yesu yu hai, naye atakuja...

284. USIMTAFUTE Yesu kati’wafu kaburini

284 1. Usimtafute Yesu kati’ wafu kaburini! Yu mzima, tumsifu, hakushindwa na kuzimu! :/: Yesu hai, Yesu hai, mshindaji wa mauti! :/:   2. Maadui walifunga...