0
116 TUIMBIE tumsifu Yesu ju’
116
1. Tuimbie, tumsifu Yesu ju’ya msalaba! Aliteswa na akafa, yote kwa ajili yetu. Akashinda, ‘kafufuka, ni Mwokozi ‘kamilifu.
Pambio:
Yesu alitukomboa,...
152 YESU alipolala kati’ kaburi
152
1. Yesu alipolala kati’ kaburi, giza ilifunika Yesu Mwokozi.
Pambio:
Alifufuka hakika, akavunja nguvu ya mauti, mshindaji ju’ ya mamlaka yote; ni...
153 YESU CHRISTO alifufuka
153
1. Yesu Kristo alifufuka, akatoka kaburini. Furahini na msifuni, kwani alishinda kufa!
Pambio:
Habari njema: Alifufuka katika wafu! Yesu yu hai, naye atakuja...
284. USIMTAFUTE Yesu kati’wafu kaburini
284
1. Usimtafute Yesu kati’ wafu kaburini! Yu mzima, tumsifu, hakushindwa na kuzimu!
:/: Yesu hai, Yesu hai, mshindaji wa mauti! :/:
2. Maadui walifunga...