Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

107 ALIPOTESWA Yesu peke’ katika Gethemani

111 E’YESU sitasahau uchungu wako ‘kubwa

111 1. E’ Yesu, sitausahau uchungu wako kubwa, ulipoteswa Gethsemane usiku peke yako. Pambio: Mateso uliyoyaona, uchungu na machozi, Usiku ule Gethsemane,...

113 MSALABANI Mwokozi wangu alijitoa kuniokoa

 113 1. Msalabani Mwokozi wangu alijitoa kuniokoa, na damu yake ilimwagika kwa’jili yangu, kunikomboa. Pambio: E’ Golgotha, e’ Golgotha, alipoteswa...

229 MWOKOZI Mfalme, ulisulubiwa

229 1. Mwokozu Mfalme, ulisulibiwa, e’pasaka wetu, ulidhihakiwa. Ukatoka damu, ‘kaona uchungu ulipotimiza mapenzi ya Mungu. Huku Gethsemane ulihuzunika,...

231 MWOKOZI alitoa damu kwa’ jili ya waovu

231 1. Mwokozi alitoa damu kwa’jili ya waovu, msalabani alikufa kuniokoa mimi. Pambio E’ Yesu, niokoe sana, nifunze kuamini! Na unilinde tena, Bwana,...

291. MIMI mwenye hatiya nilikombolewa

 291 1. Mimi mwenye hatia nilikombolewa, Mwokozi alipojitoa. Dhambi zangu na zako alizichukua, kwa damu aliniokoa. Pambio: Dhambi zimetundikwa msalabani alipojitoa,...