2 KIJITO kiko chenye damu itokayo Mwokozi
1. Kijito kiko chenye damu Itokayo Mwokozi, Kiwaoshacho wakosao
:|: Na dhambi na uchafu :|:
2. Msalabani mnyang’anyi Alikiona hima. Mnyonge mimi kama yeye
:|: Nitakasike pia! :|:
3. Mwokozi wetu, damu yako Daima ina nguvu ya kuokoa wenye dhambi
:|: Wa makabila yote :|:
4. Kijito hicho cha ajabu Ni tumaini langu upendo wako nausifu,
:|: Nasifu hata kufa. :|:
5. Nimeamini, naamini Uliyenifilia, Msalabani umetoa
:|: Maisha yako, Yesu. :|: