99 SIKU moja nitamuona Bwana Yesu

99

1. Siku moja nitamwona Bwana Yesu uso wake. Na milele kwa furaha nitaka’ karibu naye.

Pambio:
Nitamtazama Yesu ju’ ya nyota zote pia, huko kwa ukamilifu nitajua nguvu yake.

 

2.Hapa ninaufahamu kwa sehemu wema wake, huko nitamtazama na kushiba kwa kuona.

 

3. Shangwe gani kwa Yesu! Shida zote zitaisha, giza haitakuwapo, na huzuni itakoma.

 

4. Yesu atafika mbio, Lo! Mwenyewe atashuka! Tutanyakuliwa juu ili kumlaki Bwana.

 

Face to face with Christ my Saviour, R.H. 781