9 NAIAMINI damu yako

1. Naiamini damu yako yesu na msalaba wako Yesu.
Mwokozi wangu wa pekee napata yote, Napata yote kwako.

Refrain : 
Uliyoyahidi Na’pata kwa imani.
Huwezi kuniacha mimi, Napata yote kwako
.

2. Kwa damu nimetasika, Namto wa uzima wako
waniletea nguvu tele, napate yote kwako.
 

3. Nafungwa kwa upendo wako, Njiani unaniongoza,
Na katika hatari zote napat nguvu kwako.
 

4. Ninakupenda, Bwana Yesu, Wanisikia niombapo,
Wanipa jibu la mombi Napata yote kwako.