Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

6 TWA’SIFU Mungu kwa ajili ya damu takatifu

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

 1. Twa’sifu Mungu kwa ajili ya damu takatifu,
Inayotosha kuonda makosa yetu yote.
 

2.Wakristo wanakusanyika karibu ya kisima,
hawapunguki kitu kanwe, wakaa kwa Mwokozi.
 

3. Tuimbe duniani pote juu ya pendo kubwa, 
kwa kuwa tumefunguliwa kisima cha Golgotha !
 

4. Kisima hicho : Yesu kristo : na maji  damu yake.
Wasumbuka Wastarehe, Waburudishwe hapa!
 

5. Na wanye dhambi wanaitwa kwa wingi wa rehema,
Na wakosaji na maskini wasaidiwa sana.
 

6. Tumeipata tunu kubwa, Neema kwa neema.
Apokeaye fungu lake, Ni mtu wa uheri.
 

7. Heleluya! Tuna’himidi Mwenyezi na Mwanawe
Na Roho takatifu pia. Haleluya! Amina.

 

No comments yet.

Leave a Comment