59 YESU ninakutolea moyo na maisha yangu

59

1. Yesu, ninakutolea, moyo na maisha yangu, niwe mfuasi wako, Safi na mtakatifu.

Pambio:
:/: Mungu wangu, Mungu wangu, nitakase saa hii! :/:

 

2. E’ Mwokozi, nitakase, unijaze pendo lako. Na maisha yangu yote yawe yako, Bwana wangu!

 

3.Ninataka kuheshimu wewe, Mkobozi mwema; nifanane nawe, yesu, kati’ watu wa dunia!

 

4.Nikikaa kimya kwako kama yule Mariamu, nifundishwe nawe, Bwana, sitahangaika tena.

 

5. Tawi lake mzabibu, ulitunze na ‘safisha, ili kwa uwezo wako litaza’ matunda mengi!

 

Verner Skibstedt, 1930
Lord, I hear of show’rs, R.S. 277