Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

50 SITASUMBUKA kwa kuwa Mungu ananitunza daima √√

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

50

Sitasumbuka kwa kuwa mungu ananitunza daima, anachukua mizigo yangu nyakati zote za mwendo.

Refrain:
Sijaiona nyingine siku jana imetoweka na leo mungu anazijua hitaji zote ninazo.

 

Sitasumbuka kwa kuwa mungu ni baba yangu kabisa, hawezi kunisahau mimi ingawa akijificha.

Refrain:
Sijaiona nyingine siku jana imetoweka na leo mungu anazijua hitaji zote ninazo

 

Sitasumbuka kwa kuwa mungu anishibisha neema, anipa yote yanifaayo kwa roho yangu na mwili.

Refrain:
Sijaiona nyingine siku jana imetoweka na leo mungu anazijua hitaji zote ninazo

 

Maua yote anayavika na ndege wote wa anga wanapokea chakula chao pasipo shamba na ghala.

Refrain:
Sijaiona nyingine siku jana imetoweka na leo mungu anazijua hitaji zote ninazo

 

Ninafurahi katika bwana, na kama ndege naimba. Najua kwamba nyakati zote babangu ananitunza,

Refrain:
Sijaiona nyingine siku jana imetoweka na leo mungu anazijua hitaji zote ninazo. 

________________________________________________________________________

 

No comments yet.

Leave a Comment