36 YESU ameniokowa

36

1. Yesu ameniokoa, amenipa utulivu. Kwake ninaona raha, ninataka kumsifu.

Pambio:
Haleluya, haleluya! Nimefika bandarini. Haleluya, haleluya! Jina lake ni mnara.

2. Kwa furaha ninaimba wimbo mpya wa wokovu. Nisichoke kamwe hapa kumwimbia Mkombozi.

3.Ni habari za neema zakupasha pande zote. Mhubiri, enda mbio kufikia nchi zote!

4. Yesu, siku nita’kufa na maisha ni tayari, ‘nichukue kwako juu penye raha ya milele!

S.L. Oberholzer, 1885