330 Yesu alipoenda alituachia kazi

1. Yesu alipoenda alituachia kazi, na sasa tuifanye, kwani wakati wapita.

Pambio:
Uyainue macho, uyainue macho! Uyainue macho, uyatazame mavuno!

 

2. Usisimame bure, taifa wapotea usiku, wakabili, hakuna atendaye.

 

3. Aliyekwisha ‘lima, atazamapo nyuma hafai utumishi na ufalme wa Mungu.

 

4.Utapokea nini, ‘subuhi ya milele, watakapopata taji watumishi wa’minifu?

WATONGOKA Mulonge Erasto, 1969

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=QUH_Nh9-yaE?feature=oembed&w=500&h=375]