325 Hapa katika dunia tunaachana mara nyingi

1. Hapa katika dunia tunaachana mara nyingi. Lakini kwa Mwokozi wetu, hatutatengwa naye.

Pambio:
Baba Mungu awe pamoja nawe. Akulinde katika njia, Uende katika amani, Tu pamoja kwa maombi.

 

2. Tukitengwa na rafiki, tunatumaini kwa Mungu, Yeye atatufariji, kwa neema na upendo.

 

3. Adui wetu watatu, mwili, dunia na shetani. Uepuke wote hawa, ngao, neno lake Bwana.

 

4. Baba Mungu twakuomba, uchunge huyumwana wako. Pamoja na jamaa lake, hata siko ya milele.

 

TAMBI Eae Munaongo, 1945