Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

324 Bwana Yesu atashuka mbingu na sauti za wamalaika

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

1. Bwana Yesu atashuka mbingu na sauti za wamalaika.

Pambio:
:/:(Lakini wewe) mwovu, ujue kama utaenda wapi. Itakuwa furaha kubwa, kwa wale wataenda na Mwokozi. :/:
:/: (Itakuwa furaha) itakuwa furaha kubwa, kwa wale wataenda na Mwokozi.:/:

 

2. :/: Waliokufa katika Bwana, wao watafufuliwa kwanza:/:

 

3. :/: Na kisha sisi tulio hai tutanyakuliwa mbinguni. :/:

 

4. :/: Nayo furaha ya wenye dhambi itageuka kuwa uchungu.:/:

 

5. :/: Nayo huzuni ya wenye haki itageuka kuwa furaha.:/:

(Mtungaji hajulikani, 1969)

No comments yet.

Leave a Comment