305 Sifa na sifa ninakupa Yesu
1. :/: Sifa na sifa ninakupa Yesu, kweli nimwimbie Mungu :/: :/: Sifa, sifa na sifa kwa Yesu. :/:
2. :/: Maombi yangu Bwana yakufikie, ee! Mungu wa heri yangu.:/:
3. :/: Sitaki kuomba-omba kama ndege, kulia-lia porini. :/:
4. :/: Na sasa roho yangu inasimama. Kweli nimwimbie Mungu. :/:
5. :/: Na watakatifu wanasimama, wanamwimbia Mwokozi. :/:
6. :/: Tuna huzuni ya wandugu wetu. Wako kwa giza ya dhambi. :/:
Missionnary