305 Sifa na sifa ninakupa Yesu

1. :/: Sifa na sifa ninakupa Yesu, kweli nimwimbie Mungu :/: :/: Sifa, sifa na sifa kwa Yesu. :/:

 

2. :/: Maombi yangu Bwana yakufikie, ee! Mungu wa heri yangu.:/:

 

3. :/: Sitaki kuomba-omba kama ndege, kulia-lia porini. :/:

 

4. :/: Na sasa roho yangu inasimama. Kweli nimwimbie Mungu. :/:

 

5. :/: Na watakatifu wanasimama, wanamwimbia Mwokozi. :/:

 

6. :/: Tuna huzuni ya wandugu wetu. Wako kwa giza ya dhambi. :/:

Missionnary