Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

303 Nitamwimbia Mungu na furaha, kwa sababu alishinda shetani.

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

1. Nitamwimbia Mungu na furaha, kwa sababu alishinda shetani. :/: Kwa furaha punda zote za Farao, walizozipanda wote wakafa. :/: :/:

Pambio:
Kule ngambo, kule ngambo wa israeli walivuka, walipomwimbia nyimbo za Musa:/: :/: Kule ngambo walivuka na furaha walipomwimbia nyimbo za Musa. :/:

 

2. Gari zote za askari kwa kupita, kwa kuwashambulia watu wa Mungu. :/: Wale wote mashujaa wa Farao, Mungu aliwafunikiza majini. :/:

 

3. Wanawake waliimba kwa furaha. Wakapiga vinubi kwatika shangwe :/: na nabii Miriamu akasema, msifuni Mungu wetu kwa furaha.:/:

 

4. Mwenyezi Mungu ni tumaini langu, tena Mungu anakuwa wimbo wangu. :/: Mwenyezi Mungu anipitia mbele, na tena ni yeye yuko ngao yangu. :/:

Wimbo wa kinyanga,
Mfasiri Tambi Eae Munaongo, 1963

No comments yet.

Leave a Comment