1. Nitamwimbia Mungu na furaha, kwa sababu alishinda shetani. :/: Kwa furaha punda zote za Farao, walizozipanda wote wakafa. :/: :/:
Pambio:
Kule ngambo, kule ngambo wa israeli walivuka, walipomwimbia nyimbo za Musa:/: :/: Kule ngambo walivuka na furaha walipomwimbia nyimbo za Musa. :/:
2. Gari zote za askari kwa kupita, kwa kuwashambulia watu wa Mungu. :/: Wale wote mashujaa wa Farao, Mungu aliwafunikiza majini. :/:
3. Wanawake waliimba kwa furaha. Wakapiga vinubi kwatika shangwe :/: na nabii Miriamu akasema, msifuni Mungu wetu kwa furaha.:/:
4. Mwenyezi Mungu ni tumaini langu, tena Mungu anakuwa wimbo wangu. :/: Mwenyezi Mungu anipitia mbele, na tena ni yeye yuko ngao yangu. :/:
Wimbo wa kinyanga,
Mfasiri Tambi Eae Munaongo, 1963