Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

302 Mungu wetu alituambia, tusichoke kumtumikia.

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

1. Mungu wetu alituambia, tusichoke kumtumikia. Wale watakaoshindwa huku watabaki huku duniani. Mungu wetu tunangoja sisi,

Mwnye enzi Yesu Mkombozi

:/: Twawekewa makao mazuri:/:
(Huku hakuna njaa)

Twawekewa makao mazuri
(Hakuna masumbuko)

Twawekewa makao mazuri
(Na hakuna kilio)

Twawekewa makao mazuri
(Wala masikitiko)

Twawekewa makao mazuri
(Na hakuna magonjwa)

Twawekewa makao mazuri
(Ni nchi ya milele)

Twawekewa makao mazuri
(Kuna fasi kwa wote)

Twawekewa makao mazuri

 

2. Bwana Mungu hakutukataa kwa dunia hii ya makosa. Watu ndio wanamkataa. Wamwamini adui shetani.

 

3. Watu watakaoshinda huku, watapata raha ya milele. Mungu alitutumia Roho, kutuonya njia yake Yesu.

Lugha Kinyanga- Masumbuko
Mfasiri: Tambi Eae Munaongo, 1967

No comments yet.

Leave a Comment