Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

285. NENO la Mungu ndani ya Biblia

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

285

1. Neno la Mungu ndani ya Biblia limetolewa na Mwenyezi Mungu. Biblia yetu inatuambia: Njoo kwa Yesu, Mkombozi wetu!

Pambio:
Neno la Mungu tulilolipewa, njia ya mbingu limetuonyesha; nuru gizani ya kutuongoza katika mwendo wetu kwenda mbinguni.

 

2. Siku za giza zinakaribia, kama walivyosema manabii. Biblia yetu itatuangaza na kutuonya njia hata mwisho.

 

3. Katika neno la Biblia yetu tunaupata utajiri wote. Mbingu na nchi zitaangamia, neno la Mungu litashinda yote.

Thoro Harris, 1874-1955

No comments yet.

Leave a Comment