Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

279. UPENDO wake Mungu unatuunganisha

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

279

1. Upendo wake Mungu unatuunganisha. ‘Shirika wa watakatifu – uheri wa mbinguni.

 

2. Katika sala zetu twakaribia Baba kwa tumaini, ujasiri na kwa imani moja.

 

3.Upendo wa kikristo ha’vunji urafiki. Twalia naye kwa uchungu, furaha twa’shiriki.

 

4. Tunaachana huku kwa sikitiko sana. Kwa shangwe tena kwake Mungu twaweza kuonana.

Fohn Faweet
Blessed be the tie that binds, R.S. 946; R.H. 713

No comments yet.

Leave a Comment