Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

274. NINAFURAHIYA kisima daima

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

274

1. Ninafurahia kisima daima, kisima cha damu ya Yesu. Katika upendo nalindwa salama, nasifu Mwokozi mpendwa.

Pambio
Kisima cha maji kinabubujika, kinaniletea uzima. Na kando ya maji ninaburudika, ninashangilia daima.

 

2. Nakaa karibu ya kisima hiki, naishi kwa maji ya ‘hai. Yananilietea kupita kipimo uzima na shangwe rohoni.

 

3. Nakaa karibu ya kisima hiki, naishi katika uheri. Ufike upesi ulie na kiu, kisima kinabubujika!

 

4. Nakaa karibu ya kisima hiki, naona furaha na raha. Nakando ya maji nafasi kwa wote, waweza kupona kabisa.

Emil Gustavsson, 1892

No comments yet.

Leave a Comment