27 UNA uhodari leo wakumufwata Yesu hata ukichekwa sana

27

1. Una uhodari leo wa kumfuata Yesu, hata ukichekwa sana na kuteswa duniani?

 

2. Una uhodari leo kuwa mtu wake Mungu? Ukiona haya sana, kisha utaona nini?

 

3. Mji unaonekana ukijengwa mlimani, hivyo na imani yetu inadhihirika sana.

 

4.Ukipenda Yesu na kuliko vitu vyote, unataka kumkiri, mbele ya wenzako huku.

 

5. Chuki au ‘pendeleo kwako kitu bure tena, watafuta siku zote sifa zake yesu Kristo.

 

6.Ujihoji nafsi yako ukitaka kuokoka! Uliekataa Mungu, tubu dhambi zako leo!

 

7. Umsihi masamaha, akuokoe ‘kati damu! Omba uhodari tena wa kumfuata Yesu!

 

8. Uchague Yesu leo, uwe mfuasi wake! Ukitwaa msalaba utaipokea taji!

 

Lina Sandell-Berg, 1859