269. KATIKA bonde na milima

269

1. Katika bonde na milima, kwa mataifa mahali pote, peleka neno la wokovu! Msifu Yesu sana!

Pambio
Msifu Bwana, msifu Bwana! Na tangazeni neno lake, ‘sifuni Yesu daima!

 

2. Mapema na jioni pia hubiri neno la Bwana Yesu! Tangaza njia ya wokovu, msifu Yesu sana!

 

3. Lo! Paradiso malaika wanahimidi Mwokozi wetu. Tuimbe nasi sifa yake, tu’sifu yesu sana!

 

4.Usiyeona kufa bado, uipokee neema leo! Ujisafishe kati’ damu, msifu Yesu Kristo!

H.W. Clark