Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

264. E’MSAFIRI jangwani

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

264

1. E’ msafiri jangwani, tazama juu mbinguni! Hapo utaona nyota za faraja na tumaini.

Pambio:
Huko hutayaona machozi wala shida. Mungu atatuliza msafiri mbinguni kwake.

 

2.Ukisumbuka gizani katika pepo, dhoruba, bado wakati mfupi, nuru itatokea tena.

 

3.Ukililia wapendwa waliokutangulia, utakutana na wote, hutalia machozi tena.

 

4. Na karibu na Bwana Yesu utastarehe daima, hutakumbuka mbinguni shida, kufa na sikitiko.

No comments yet.

Leave a Comment