254 E’ROHO yangu
254
1. E’ roho yangu, sikiliza vema, wimbo wa juu unatufikia! Shangwe na raha unatuletea, amezaliwa Mkombozi wetu.
Pambio:
Ahimidiwe Mungu wa mbingu! Na duniani iwe raha na amani!
2.Ninafurahi kwani wimbo huo tungali tunausikia huku. Na kwa upendo Mungu aita: “Mfike kwangu, nitawapa raha!”
3. Katika nchi, mbali na karibu, sauti ya Mwokozi inavuma. Watu wa dhambi wanakuja kwake, awapokea na awaokoa.
F.W. Fabe