251 HERI mimi kwani Mukombozi wangu alitoa dhambi

251

1. Heri mimi kwani Mkombozi wangu alitoa dhambi zote! Shangwe na furaha zanijaza mno, kila siku nafurahi! Kila siku nafurahi!

Kila siku nafurahi! Heri mimi kwani Mkombozi wangu alitoa dhambi zote!

 

2.Heri mimi, Yesu alinifilia; ni furaha ku’; yu hai! Ni rafiki kweli anayetuweka huru toka minyororo.

Kila siku nafurahi! Kila siku nafurahi! Heri mimi Yesu alinifilia; ni furaha ku’: Yu hai!

 

3.Heri mimi kwani ananiongoza; nafuata nyayo zake. Nikiyasikia tu maneno yake, sitaweza kupotea.

Kila siku nafurahi! Kila siku nafurahi! Heri mimi kwani ananiongoza, sitaweza kupotea!