246 HESHIMA na sifa zina Baba mbinguni

246

1. Heshima na sifa zina Baba mbinguni, aliyetupenda zamani na sasa!

Pambio
Haleluya, usifiwe! Haleluya, amina. Haleluya, usifiwa! Haleluya, amina.

 

2. Heshima na sifa zina Yesu Mwokozi, alitufilia kwa’jili ya dhambi!

 

3. Heshima na sifa zina Roho wa kweli, anashuhudia Mwokozi na damu!

W.P. Mackay, 1863