239 NENO mbaya lisitoke kamwe kwa ulimi wako

239

1. Neno baya lisitoke kamwe kwa ulimi wako! Pendo likuchunge pote, hata na maneno yako!

Pambio:
Amri ya Yesu ni “Mpendane”! Kama watoto wema tumtii! Amri ya Yesu ni “Mpendane”! Kama watoto tumtii!

 

2. Pendo ni la mbingu, safi, urafiki ‘takatifu. Tusiyaharibu tena kwa maneno yetu ‘gumu!

 

3. Neno moja la hasira au tendo la uovu, kwa upesi linavunja fungu la upendo safi.

T. Truvé