Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

228 WAKATI wa utoto wako

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

228

1. Wakati wa utoto wako, hujapoona shida bado, sauti ilikuambia: “Unipe sasa moyo wako!”

Pambio:
Wajua ni nani huyu anayekuita sasa? Ni Yesu, rafiki yako; anakuita: ” Njoo kwangu!”

 

2. Na katika ujana wako wausikia mwito wake, na jinsi utakavyoshinda shetani akikujaribu.

 

3. Wakati wa uzee wako dhambini ukiendelea hata kukaribia kufa, Mwokozi akuita tena.

No comments yet.

Leave a Comment