225 LO! bendera mbele yako

225

1. Lo! Bendera mbele yako, usihofu sasa! Usimame kwa imara kama Danieli!

Pambio:
Uwe mhodari kama Danieli! Weka makusudi mema bila kuogopa!

 

2. Wenye hofu hawawezi kuingia mbingu. Tweka tu bendera yetu, endelea mbele!

 

3. Mashujaa wa shetani wangeshindwa sana wakikuta jeshi la askari wa imani.

 

4. Endelea kwa kushinda, Yesu ni Mfalme! Taji ya uzima utapata huko juu.