221 E’MTOTO yainue macho yako mbinguni

221

1. E’mtoto, yainue macho yako mbinguni! Bwana Yesu huko juu, kwa upendo akuone.

 

2.Ukiomba asikia, akulinda mashakani; na anakuandalia kao zuri huko kwake.

 

3. Penda Yesu, mfuate, tii neno lake pia! Tena malaika wake watakuchukua kwake.