22 YESU KRISTO bwana wangu

22

1. YESU Kristo Bwana wangu, Una amri na uwezo za kuziondoa dhambi, Na ‘takasa roho yangu.

Refrain:
Nitolee masamaha, ‘niokoe na jaribu, unilinde hata mwisho, Unitwae kwako juu!

2. Mbele nilikuwa mwovu, nilikukataa, Yesu, Kwa hakika sikujuwa wewe na upendo wako!

3. Bwana Yesu, usamehe dhambi nilizozifanya! ‘siitike majaribu, nguvu yako inilinde!

4. Tangu sasa Wewe, Yesu, U Mwokozi na Rafiki, Nimetengwa na Shetani, Niwe wako siki zote!