218 MTOTO mimi ni maskini

218

1. Mtoto mimi ni maskini, lakini nafurahi kwa kuwa Baba yangu mwema ananitunza vema.

 

2. Babangu anipenda sana, anionyesha njia. Upendo wake unapita uzuri wa dunia.

 

3. Katika shida na huzuni naimba kwa furaha: “Nina makimbilio yangu kwa Mungu Baba yangu”.