217 BWANA Yesu atakuja kutoka mbinguni

217

1. Bwana Yesu atakuja kotoka mbinguni, atawachukua wote wanaomwamini.

Pambio:
Kama nyota za mbinguni watu wake watang’aa katika taji yake, kuwa sifa ya Yesu.

 

2. Atawakusanya wote waliompenda, watakuwa tunu yake milele mbinguni.

 

3. Na watoto watakuwa pamoja na Yesu, watang’aa kama lulu nyumbani mwa Baba.

G.F. Root