205 YESU Mwokozi aita kwapendo mimi na wewe na wote

205

1. Pendo la Mwokozi kubwa mno! Yesu akuita, ufike kwake sasa!

Pambio:
:/: Anangoja, anabisha, ufungue!:/:

 

2. Amengoja wewe siku nyingi, analia sana juu ya dhambi zako.

 

3. Kwa huruma nyingi akuita. ‘Geukie Mungu, anakungoja sasa!

 

4. Yesu atakupa raha kubwa na uzima tele ulio wa milele.

Armée du Salut.