Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

2 KIJITO kiko chenye damu itokayo Mwokozi

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

1.  Kijito kiko chenye damu Itokayo Mwokozi, Kiwaoshacho wakosao
    :|: Na dhambi na uchafu :|:

2. Msalabani mnyang’anyi Alikiona hima. Mnyonge mimi kama yeye
    :|: Nitakasike pia! :|:

3. Mwokozi wetu, damu yako Daima ina nguvu ya kuokoa wenye dhambi
    :|: Wa makabila yote :|:

4. Kijito hicho cha ajabu Ni tumaini langu upendo wako nausifu,
    :|: Nasifu hata kufa. :|:

5. Nimeamini, naamini Uliyenifilia, Msalabani umetoa
    :|: Maisha yako, Yesu. :|:


 

 

No comments yet.

Leave a Comment