Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

198 E’MTU mwenye kiu

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

198

1. E’ mtu mwenye kiu, ufike kwake Yesu, :/: upate maji ya uzima, hutaona kiu kamwe!

Pambio:
:/: Njoo kwa Yesu, uyanywe maji hai! Ufike, na utapewa uzima na uhodari!

 

2.Na tazama, ndugu wengi wamekwisha kunywa! :/: Ni heri kubwa, maji hayo hayatakauka kamwe! :/:

 

3.Na wewe unywe pia, upate nguvu sana! :/: Tumia katika shindano upanga wa neno lake! :/:

 

4.Na mwendo wa imani uta’poumaliza, :/: utayakunywa maji bora m kwa Mungu mbinguni juu. :/:

 

T.B. Barrat

No comments yet.

Leave a Comment