Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

190 KISIMA cha lehi kingali

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

190

1. Kisima cha Lehi kingali kwa kila aliye na kiu. Kinatoa maji mazima yaliyo ya kuburudisha.

Pambio:
Kisima chema cha maji safi hakikauki hata milele. Ni heri yangu, napumzika, na roho yangu inatulia.

 

2.Ulie na kiu rohoni, ukinyong’onyea njiani, tazama kisima jangwani kilicho na afya, uzima!

 

3. Mtungi ukiwa mtupu, ukipungukiwa imani, ufike kisima cha maji yabubujikayo daima!

 

4.Na penye kisima cha lehi upange na kupumzika! Uketi kivulini mwake, na moyo utaburudishwa!

Ida Björkman M et T

No comments yet.

Leave a Comment