156 WALIAMINIO neno lake Mungu watapata nguvu kuwa washindaji

156

1. Waliaminio neno lake Mungu watapata nguvu kuwa washindaji, kwani Bwana Yesu alituahidi atathibitisha neno kwa ishara.

Pambio:
Shinda, shinda, nguvu ya kushinda! Shinda, shinda, shinda kila saa! Mungu atatupa nguvu ya kushinda, Tumtii Yesu nasi tutashinda!

 

2. Kati’ vita kali tuwe na ‘hodari, Mungu ndie nguvu yetu ya ajabu! Tu’amini neno: Na ishara kubwa ziatafuatana na waaminio.

 

3.Nguvu ya kupiga vita ya imani, nguvu ya kupinga hila za shetani! Yesu amesema: Na ishara kubwa zitafuatana na waaminio.

Leila Morris, 1862-1929
Theu who know the Saviour, R. H. 441