152 YESU alipolala kati’ kaburi
152
1. Yesu alipolala kati’ kaburi, giza ilifunika Yesu Mwokozi.
Pambio:
Alifufuka hakika, akavunja nguvu ya mauti, mshindaji ju’ ya mamlaka yote; ni Mflme wa milele na milele, Alikuwa amekufa, na tazama amefufuka!
2. Walinzi wa kaburi walikimbia, muhuri na vifungo vilivunjika.
3. Mauti na pingo hazikuweza kumshika Yesu Mwokozi.