Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

152 YESU alipolala kati’ kaburi

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

152

1. Yesu alipolala kati’ kaburi, giza ilifunika Yesu Mwokozi.

Pambio:
Alifufuka hakika, akavunja nguvu ya mauti, mshindaji ju’ ya mamlaka yote; ni Mflme wa milele na milele, Alikuwa amekufa, na tazama amefufuka!

 

2. Walinzi wa kaburi walikimbia, muhuri na vifungo vilivunjika.

 

3. Mauti na pingo hazikuweza kumshika Yesu Mwokozi.

No comments yet.

Leave a Comment