Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

128 NINA rafiki mwema

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

 128

1. Nina rafiki mwema, naye alinifilia; alinivuta kwake na amenifanya mpya. Ni mali yake Yesu tu, ninaongozwa naye, alikomboa mimi kwa agano la upendo.

 

2.Nina rafiki mwema, na aliondoa dhambi, aliniweka huru na kunipa Roho yake. Na vitu vyote ninavyo ninavitoa kwake, maisha yangu ni yake, yaimba sifa zake.

 

3.Nina rafiki mwema na anayeweza yote, pamoja naye Yesu tu nashinda majaribu, atanitwaa kwake ju’ mbinguni kwa furaha; Nitastarehe katika makao ya milele.

 

J.G. Small
I have a friend,

No comments yet.

Leave a Comment