Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

126 E’MTAKATIFU Mungu wamajeshi

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

126

1. E’ Mtakatifu, Mungu wa majeshi, leo asubuhi tunaimba mbele yako! E’ Mtakatifu, Mungu wa rehema, Bwana Mwenyezi, tunakuabudu!

 

2. E’ Mtakatifu, huko ju’ mbinguni, lo! Wazee huzitupa taji mbele zako. Jeshi la mbinguni wanakusujudu uliye hai sasa na milele.

 

3. E’ Mtakatifu! Mtu mwenye dhambi hataweza kuuona utukufu wako. Wewe tu ni mwema, tunakuheshimu, E’ mwenye nguvu, pendo na uwezo.

 

4. E’ Mtakatifu, jina lako kubwa lisifiwe hapa chini, juu ya po pote! Mungu wa neema, nguvu na uwezo, mwenye baraka, tunakushukuru!

 

Dr. J.B. Dykes
Holy, holy, holy, R.S. 25

No comments yet.

Leave a Comment