12 KWA badala yangu kweli Yesu alitoa damu

1. KWA badala yangu kweli Yesu alitowa damu.
Mimi huru na ni heri, Bwana Yesu asifiwe!

Refrain:
Yesu alinikomboa, lakini Si kwa dhahabu na mali ya dunia; bali damu ya mwokozi ni malipo kwa ajili yangu, Haleluya!

 

2. Tuinue msalaba, hata wote wataona Mwana wake Mungu,
hapo Alitowa damu yake!

 

3. Dunia kubwa, Yesu kristo! wingi sana wa upendo:
Yesu aliacha mbingu, alitufiliya sote.

 

4. Sitaweza kufahamu Bei ya wokovu wangu, Bali ninajuwa:
Yesu alinikomboa.