Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

119 TUIMBIE msalaba wa Mwokozi

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

119

1. Tuimbie msalaba wa Mwokozi, damu yake inatusafisha sana! Tunaweza kuwa huru, kwani Yesu alikufa ili ku’ondoa dhambi.

Pambio:
Haleluya, anipenda! Haleluya nafurahi! Haleluya, siku moja nitamwona Yesu!

 

2. Twafurahi kwa neema yake kubwa, alikuja ili tuwe na uzima. Kama njia ni nyembamba duniani, Yesu atatupa nguvu na ‘hodari.

 

3. Tuuimbe moto ule ‘takatifu uli’tupwa na Mwokozi duniani! Tuvipige vita vilivyo vizuri, nasi tutapewa taji ya uzima!

No comments yet.

Leave a Comment