Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

11 IKIWA wananiuliza msingi wa uzima

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

1. IKIWA wananiuliza msingi wa uzima je?
twahitaji kuongeza kwa kazi yake Yesu?
Kwa uhodari nitajibu: msingi wangu ni wa nguvu,
ni damu yake Yesu Kristo inatosha sana.

 

2 UMWAMBA wa zamani sana, Daima utadumu.
Na hata siku nita’kufa, nitautegemeya.
Nitakapoondoka huku, nitaimbia majeraha
na damu ya mwokozi wangu, Funguo la mbingu.


 

No comments yet.

Leave a Comment