Digg StumbleUpon LinkedIn YouTube Flickr Facebook Twitter RSS Reset

10 DAMU yako yenye baraka inayotuosha makosa

image_pdfsauvegarder en PDF-Saveimage_printImprimer-Print

1. Damu yako yenye baraka Inayotuosha makosa.  

Ilitoka musalabani, Bwana YESU, alipokufa alipokufa.  

Nastahili pata hukumu, Na siwezi mimi kujiosha.  

Unioshe katika damu nipate kuwa safi kabisa!

Refrain:
Safi, Safi kweli, Safi, safi kweli!
Unioshe katika damu nipate kuwa safi kabisa!

 

2. YESU ulivikwa miiba, kuangikwa juu ya mti.  

Ulivumilia mateso, Maumivu na majeraha.  

Ninataka kijito hicho N’ende na nikasafishwe sana!  

Unioshe katika damu, Nipate kuwa safi kabisa.

 

3. BABA kweli nina makosa, moyo wangu wa udhaifu;

mimi mwenye dhambi rohoni nitaona wapi mwokozi?

yesu kwako msalabani naja ninakuamini sasa.

unioshe katika damu nipate kuwa safi kabisa.

 

4. BWANA, nimefika karibu, unilinde kwako,

mille! ufungue kila kikamba, unijaze moyo mwenyewe!

na karibu ya msalaba nitakaa hata kufa kwangu.

unioshe katika damu nipate kuwa safi kabisa.


 

4 Responses to “10 DAMU yako yenye baraka inayotuosha makosa”

  1. WordPress › Error

    There has been a critical error on this website.

    Learn more about troubleshooting WordPress.